forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
402 B
Markdown
20 lines
402 B
Markdown
# Taarifa Kwa Ujumla:
|
|
|
|
Habakuki anamfafanua Yahwe kuwaharibu Wakaldayo.
|
|
|
|
# Wanakuja sawa na tufani
|
|
|
|
Nguvu na uharaka wa Wakaldayo walivyowashambulia Israeli unalinganishwa na ujio wa ghafla wa tufani.
|
|
|
|
# Kuchekelea/cheka
|
|
|
|
"kujigamba"
|
|
|
|
# teketeza maskini katika mahali palipo fichika
|
|
|
|
tafuta watu maskini ambao wamejificha na huwaua na kuchukua mali zao zote
|
|
|
|
# teketeza/meza
|
|
|
|
hula kila kitu kwa haraka
|