sw_tn/hab/03/14.md

402 B

Taarifa Kwa Ujumla:

Habakuki anamfafanua Yahwe kuwaharibu Wakaldayo.

Wanakuja sawa na tufani

Nguvu na uharaka wa Wakaldayo walivyowashambulia Israeli unalinganishwa na ujio wa ghafla wa tufani.

Kuchekelea/cheka

"kujigamba"

teketeza maskini katika mahali palipo fichika

tafuta watu maskini ambao wamejificha na huwaua na kuchukua mali zao zote

teketeza/meza

hula kila kitu kwa haraka