forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
388 B
Markdown
16 lines
388 B
Markdown
# Sela
|
|
|
|
Neno hili linamaanisha "simama na akisi" au "inua juu, inua"
|
|
|
|
# Milima ilikuona wewe na ikatikisika kwa maumivu
|
|
|
|
Kama Mungu aliigawa nchi, milima ilihama, kama vile ingeliona matendo ya Mungu na kudhihirisha kwa kugeuka kutoka pale ilipogawanyika nchi.
|
|
|
|
# kina cha bahari kilipaza sauti
|
|
|
|
sauti ya mawimbi makubwa ya bahari
|
|
|
|
# iliinua juu mawimbi yake
|
|
|
|
kiwango cha maji kinaiinuka
|