sw_tn/hab/03/09.md

388 B

Sela

Neno hili linamaanisha "simama na akisi" au "inua juu, inua"

Milima ilikuona wewe na ikatikisika kwa maumivu

Kama Mungu aliigawa nchi, milima ilihama, kama vile ingeliona matendo ya Mungu na kudhihirisha kwa kugeuka kutoka pale ilipogawanyika nchi.

kina cha bahari kilipaza sauti

sauti ya mawimbi makubwa ya bahari

iliinua juu mawimbi yake

kiwango cha maji kinaiinuka