sw_tn/hab/01/12.md

366 B

Taarifa kwa ujumla:

Habakuki anazungumza kwa Yahwe kuhusu Wakaldayo.

Wewe si kutoka nyakati za kale, Yahwe Mungu wangu, Mtakatifu wangu?

NI: "Wewe ni wa milelel, Yahwe Mungu wangu, Mtakatifu wangu."

wao ... wao

Wakaldayo

Mwamba

kinga ya Israeli

Waliwekwa kwaajili ya lengo la kuisahihisha Israeli

"Wao waliwekwa kwa lengo la kuisahihisha Israeli"