sw_tn/gen/50/24.md

585 B

atawajilia

Katika 50:24 neno "atawajilia" lina maana ya ndugu wa Yusufu, lakini pia lina maana ya uzao wake.

kuwaongoza kutoka katika nchi hii na kuwapeleka katika nchi

Ilikuwa kawaida kutumia msemo wa "kupanda" kuzungumzia safari ya kutoka Misri kwenda Kaanani. "kuwaleta kutoka nchi hii na kuwapeleka katika nchi"

Wakampaka dawa

"kumpaka dawa" ni njia maalumu ya kuhifadhi maiti kabla haujazikwa.

akawekwa

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "walimweka"

katika jeneza

"ndani ya sanduku" au "katika kasha". Hili ni sanduku ambalo mtu aliyekufa kuwekwa ndani.