forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
585 B
Markdown
20 lines
585 B
Markdown
|
# atawajilia
|
||
|
|
||
|
Katika 50:24 neno "atawajilia" lina maana ya ndugu wa Yusufu, lakini pia lina maana ya uzao wake.
|
||
|
|
||
|
# kuwaongoza kutoka katika nchi hii na kuwapeleka katika nchi
|
||
|
|
||
|
Ilikuwa kawaida kutumia msemo wa "kupanda" kuzungumzia safari ya kutoka Misri kwenda Kaanani. "kuwaleta kutoka nchi hii na kuwapeleka katika nchi"
|
||
|
|
||
|
# Wakampaka dawa
|
||
|
|
||
|
"kumpaka dawa" ni njia maalumu ya kuhifadhi maiti kabla haujazikwa.
|
||
|
|
||
|
# akawekwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "walimweka"
|
||
|
|
||
|
# katika jeneza
|
||
|
|
||
|
"ndani ya sanduku" au "katika kasha". Hili ni sanduku ambalo mtu aliyekufa kuwekwa ndani.
|