sw_tn/gen/50/18.md

643 B

kuinamisha nyuso zao mbele zake

Walilala chini kifudifudi kuelekea ardhini. Hii ni ishara ya unyenyekevu na heshima kwa Yusufu.

Je mimi ni badala ya Mungu?

Yusufu anatumia swali kuwatia moyo ndugu zake. "Mimi sipo katika nafasi ya Mungu" au "Mimi sio Mungu"

mlikusudia kunidhuru

"mlikusudia kutenda uovu dhidi yangu"

Mungu alikusudia mema

"Mungu alikusudia kwa wema"

Hivyo basi msiogope

"Kwa hiyo msiniogope"

Nitawahudumia ninyi na watoto wenu wadogo

"Nitahakikisha nyie pamoja na watoto wenu mnapata chakula cha kutosha"

aliwatia moyo na kuongea na mioyo yao kwa upole.

"Aliwatia moyo kwa kuzungumza nao kwa upole"