forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
643 B
Markdown
28 lines
643 B
Markdown
|
# kuinamisha nyuso zao mbele zake
|
||
|
|
||
|
Walilala chini kifudifudi kuelekea ardhini. Hii ni ishara ya unyenyekevu na heshima kwa Yusufu.
|
||
|
|
||
|
# Je mimi ni badala ya Mungu?
|
||
|
|
||
|
Yusufu anatumia swali kuwatia moyo ndugu zake. "Mimi sipo katika nafasi ya Mungu" au "Mimi sio Mungu"
|
||
|
|
||
|
# mlikusudia kunidhuru
|
||
|
|
||
|
"mlikusudia kutenda uovu dhidi yangu"
|
||
|
|
||
|
# Mungu alikusudia mema
|
||
|
|
||
|
"Mungu alikusudia kwa wema"
|
||
|
|
||
|
# Hivyo basi msiogope
|
||
|
|
||
|
"Kwa hiyo msiniogope"
|
||
|
|
||
|
# Nitawahudumia ninyi na watoto wenu wadogo
|
||
|
|
||
|
"Nitahakikisha nyie pamoja na watoto wenu mnapata chakula cha kutosha"
|
||
|
|
||
|
# aliwatia moyo na kuongea na mioyo yao kwa upole.
|
||
|
|
||
|
"Aliwatia moyo kwa kuzungumza nao kwa upole"
|