forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
647 B
Markdown
28 lines
647 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Yakobo anaendelea kuzungumza na wanawe.
|
|
|
|
# lililomo lilinunuliwa
|
|
|
|
Ununuzi unaweza kuwekwa wazi. "ndani mwake ulinunuliwa na Abrahamu"
|
|
|
|
# kutoka kwa watu wa Hethi
|
|
|
|
"kutoka kwa Wahiti"
|
|
|
|
# alipomaliza maagizo hayo kwa wanawe
|
|
|
|
"alimaliza kuwaagiza wanawe" au "alimaliza kuwaamuru wanawe"
|
|
|
|
# akaiweka miguu yake kitandani
|
|
|
|
Yakobo alikuwa amekaa juu ya kitanda. Sasa, Yakobo anageuka na kuweka miguu yake kitandani ili aweze kulala chini.
|
|
|
|
# akavuta pumzi ya mwisho
|
|
|
|
Hii ni njia ya upole ya kusema mtu amekufa.
|
|
|
|
# akawaendea watu wake
|
|
|
|
Baada ya Yakobo kufa, nafsi yake ilikwenda sehemu ile ile kama ndugu zake waliokufa kabla yake.
|