sw_tn/gen/49/31.md

647 B

Maelezo ya Jumla:

Yakobo anaendelea kuzungumza na wanawe.

lililomo lilinunuliwa

Ununuzi unaweza kuwekwa wazi. "ndani mwake ulinunuliwa na Abrahamu"

kutoka kwa watu wa Hethi

"kutoka kwa Wahiti"

alipomaliza maagizo hayo kwa wanawe

"alimaliza kuwaagiza wanawe" au "alimaliza kuwaamuru wanawe"

akaiweka miguu yake kitandani

Yakobo alikuwa amekaa juu ya kitanda. Sasa, Yakobo anageuka na kuweka miguu yake kitandani ili aweze kulala chini.

akavuta pumzi ya mwisho

Hii ni njia ya upole ya kusema mtu amekufa.

akawaendea watu wake

Baada ya Yakobo kufa, nafsi yake ilikwenda sehemu ile ile kama ndugu zake waliokufa kabla yake.