sw_tn/gen/49/22.md

378 B

Yusufu ni tawi lizaalo

Hapa "Yusufu" ni lugha nyingine yenye maana ya uzao wake. Yakobo anazungumzia uzao kana kwamba walikuwa shina la mti lizaalo matunda mengi. Hii inasisitiza ya kwamba wataongezeka sana kwa idadi.

tawi

shina kuu la mti

ambaye matawi yake yako juu wa ukuta

Shina ambalo litakuwa na kusambaajuu ya ukuta inazungumziwa kana kwamba ilikuwa inapanda.