forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
378 B
Markdown
12 lines
378 B
Markdown
|
# Yusufu ni tawi lizaalo
|
||
|
|
||
|
Hapa "Yusufu" ni lugha nyingine yenye maana ya uzao wake. Yakobo anazungumzia uzao kana kwamba walikuwa shina la mti lizaalo matunda mengi. Hii inasisitiza ya kwamba wataongezeka sana kwa idadi.
|
||
|
|
||
|
# tawi
|
||
|
|
||
|
shina kuu la mti
|
||
|
|
||
|
# ambaye matawi yake yako juu wa ukuta
|
||
|
|
||
|
Shina ambalo litakuwa na kusambaajuu ya ukuta inazungumziwa kana kwamba ilikuwa inapanda.
|