sw_tn/gen/49/09.md

495 B

Yuda ni mwana simba

Yakobo anamzungumzia Yuda kana kwamba alikuwa mtoto wa simba. Yakobo anasisitiza nguvu ya Yuda. "Yuda ni kama mwana wa simba"

Mwanangu, umetoka katika mawindo yako

"Wewe, mwanangu, umerudi kutoka kula windo lako"

kama simba jike

Yakobo anamlinganisha Yuda na simba jike. Simba jike ni mwindaji na mlinzi wa msingi wa watoto wake.

Je nani atakayejaribu kumwamsha?

Yakobo anatumia swali kusisitiza jinsi Yuda anavyotisha watu wengine. "Hakuna atakaye kumuamsha"