forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
495 B
Markdown
16 lines
495 B
Markdown
|
# Yuda ni mwana simba
|
||
|
|
||
|
Yakobo anamzungumzia Yuda kana kwamba alikuwa mtoto wa simba. Yakobo anasisitiza nguvu ya Yuda. "Yuda ni kama mwana wa simba"
|
||
|
|
||
|
# Mwanangu, umetoka katika mawindo yako
|
||
|
|
||
|
"Wewe, mwanangu, umerudi kutoka kula windo lako"
|
||
|
|
||
|
# kama simba jike
|
||
|
|
||
|
Yakobo anamlinganisha Yuda na simba jike. Simba jike ni mwindaji na mlinzi wa msingi wa watoto wake.
|
||
|
|
||
|
# Je nani atakayejaribu kumwamsha?
|
||
|
|
||
|
Yakobo anatumia swali kusisitiza jinsi Yuda anavyotisha watu wengine. "Hakuna atakaye kumuamsha"
|