forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
320 B
Markdown
16 lines
320 B
Markdown
# Ni nani hawa?
|
|
|
|
"Hawa ni watoto wa nani?"
|
|
|
|
# niwabariki
|
|
|
|
Baba huwa anatamka baraka rasmi juu ya watoto au wajukuu wake.
|
|
|
|
# Basi macho ya Israeli ... hakuweza kuona
|
|
|
|
Neno "Basi" linatumika hapa kuweka alama ya badiliko kutoka kwenye simulizi kwenda kwa taarifa ya nyuma kuhusu Israeli.
|
|
|
|
# akawabusu
|
|
|
|
"Israeli aliwabusu"
|