sw_tn/gen/48/08.md

320 B

Ni nani hawa?

"Hawa ni watoto wa nani?"

niwabariki

Baba huwa anatamka baraka rasmi juu ya watoto au wajukuu wake.

Basi macho ya Israeli ... hakuweza kuona

Neno "Basi" linatumika hapa kuweka alama ya badiliko kutoka kwenye simulizi kwenda kwa taarifa ya nyuma kuhusu Israeli.

akawabusu

"Israeli aliwabusu"