sw_tn/gen/48/05.md

685 B

sasa

Hii haimaanishi "katika kipindi hiki" lakini inatumika kuvuta nadhari kwa lengo muhimu linalofuata.

Efrahimu na Manase watakuwa wangu

Efrahimu na Manase kila mmoja atapokea sehemu ya nchi kama ndugu zake Yusufu.

watahesabiwa katika majina ya ndugu zao katika urithi wao

Maana zinawezekana kuwa 1) watoto wale wengine wa Yusufu wangerithi nchi kama sehemu ya makabila ya Efrahimu na Manase au 2) Yusufu atatengewa nchi na Efraimu na Manase na watoto wengine wa Yusufu watarithi nchi hiyo. "na kwa urithi wao, utawaorodhesha chini ya majina ya ndugu zao"

Efrathi

Hili ni jina lingine la mji wa Bethlehemu.

ndio, Bethlehemu

Mwandishi huyu anatoa taarifa ya nyuma.