sw_tn/gen/46/28.md

805 B

kuonesha njia mbele yake kwenda Gosheni

"kuwaonyesha njia ya kuelekea Gosheni"

Yusufu akaandaa kibandawazi chake na akaenda

Hapa "Yusufu" ina maana ya watumishi wake. "Watumishi wa Yusufu waliaanda kibandawazi chake na Yusufu akenda juu"

akaenda kukutana na baba yake Israeli

Msemo wa "kwenda juu" unatumika kwa sababu Yusufu anasafiri kwenye kwenye mwinuko kukutana na baba yake" "akaenda kukutana na baba yake"

akaikumbatia shingo yake, na akalia shingoni mwake kwa muda mrefu

"akaweka mikono yake kumzunguka baba yake, na kulia kwa muda mrefu"

Basi na nife sasa

"Sasa nipo tayari kufa" au "Sasa nitakufa na furaha"

kwa kuwa nimeuona uso wako, kwamba bado uko hai

Hapa "uso" ina maana ya mtu mzima. Yakobo anaonyesha furaha ya kumuona Yusufu. "kwa maana nimekuona ukiwa hai tena"