sw_tn/gen/46/12.md

20 lines
510 B
Markdown

# Eri, Onani, Shela
Hawa walikuwa wana wa Yuda kwa mke wake, Shua.
# Shela na Zera
Hawa walikuwa wana wa Yuda kwa mkwe wake, Tamari.
# Hezroni ... Hamuli ... Tola, Puva, Lobu ... Shimroni ... Seredi, Eloni ... Yahleeli
Haya ni majina ya wanamume.
# Dina
Hili ni jina la binti wa Lea.
# Wanawe na binti zake walikuwa thelathini na watatu
watatu - Hapa "wanawe" na "mabinti" ina maana ya wana wa Yakobo, mabinti , na wajukuu wenye uhusuiano na Lea. "Kwa pamoja alikuwa na watoto 33, mabinti na wajukuu"