forked from WA-Catalog/sw_tn
510 B
510 B
Eri, Onani, Shela
Hawa walikuwa wana wa Yuda kwa mke wake, Shua.
Shela na Zera
Hawa walikuwa wana wa Yuda kwa mkwe wake, Tamari.
Hezroni ... Hamuli ... Tola, Puva, Lobu ... Shimroni ... Seredi, Eloni ... Yahleeli
Haya ni majina ya wanamume.
Dina
Hili ni jina la binti wa Lea.
Wanawe na binti zake walikuwa thelathini na watatu
watatu - Hapa "wanawe" na "mabinti" ina maana ya wana wa Yakobo, mabinti , na wajukuu wenye uhusuiano na Lea. "Kwa pamoja alikuwa na watoto 33, mabinti na wajukuu"