sw_tn/gen/46/12.md

510 B

Eri, Onani, Shela

Hawa walikuwa wana wa Yuda kwa mke wake, Shua.

Shela na Zera

Hawa walikuwa wana wa Yuda kwa mkwe wake, Tamari.

Hezroni ... Hamuli ... Tola, Puva, Lobu ... Shimroni ... Seredi, Eloni ... Yahleeli

Haya ni majina ya wanamume.

Dina

Hili ni jina la binti wa Lea.

Wanawe na binti zake walikuwa thelathini na watatu

watatu - Hapa "wanawe" na "mabinti" ina maana ya wana wa Yakobo, mabinti , na wajukuu wenye uhusuiano na Lea. "Kwa pamoja alikuwa na watoto 33, mabinti na wajukuu"