sw_tn/gen/45/12.md

493 B

macho yenu yanaona, na macho ya Benjamini ndugu yangu

Neno "macho" ina maana ya mtu mzima. "Nyie wote na Benyamini mnaweza kuona"

kwamba ni kinywa changu kinachoongea nanyi

Neno "kinywa" ina maana ya mtu mzima. "ya kwamba mimi, Yusufu, nazungumza na nyinyi"

juu ya heshima yangu yote huku Misri

"jinsi watu wa Misri wanavyoniheshimu sana"

baba yangu huku chini

Ilikuwa kawaida kutumia msemo wa "shuka" kuzungumzia safari ya kutoka Kaanani kwenda Misri. "baba yangu huku kwangu"