forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
493 B
Markdown
16 lines
493 B
Markdown
|
# macho yenu yanaona, na macho ya Benjamini ndugu yangu
|
||
|
|
||
|
Neno "macho" ina maana ya mtu mzima. "Nyie wote na Benyamini mnaweza kuona"
|
||
|
|
||
|
# kwamba ni kinywa changu kinachoongea nanyi
|
||
|
|
||
|
Neno "kinywa" ina maana ya mtu mzima. "ya kwamba mimi, Yusufu, nazungumza na nyinyi"
|
||
|
|
||
|
# juu ya heshima yangu yote huku Misri
|
||
|
|
||
|
"jinsi watu wa Misri wanavyoniheshimu sana"
|
||
|
|
||
|
# baba yangu huku chini
|
||
|
|
||
|
Ilikuwa kawaida kutumia msemo wa "shuka" kuzungumzia safari ya kutoka Kaanani kwenda Misri. "baba yangu huku kwangu"
|