sw_tn/gen/44/14.md

331 B

Bado alikuwepo pale

"Yusufu alikuwa bado yupo pale"

wakainama mbele zake

"wakaanguka mbele yake". Hii ni ishara ya ndugu kutaka bwana awe na huruma kwao.

Je hamjui kwamba mtu kama mimi anafanya uaguzi

Yusufu anatumia swali kukaripia ndugu zake. "Hakika mnajua ya kwamba mtu kama mimi naweza kujifunza mambo kwa uaguzi!"