sw_tn/gen/43/26.md

213 B

wakaleta nyumbani zawadi iliyokuwa mikononi mwao

Hapa "mikononi" ina maana ya mtu mzima. "ndugu hawa walileta zawadi ambazo walikuwa nazo"

wakainama mbele yake

Hii ni njia ya kuonyesha heshima na taadhima.