forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
779 B
Markdown
32 lines
779 B
Markdown
# Kama ni hivyo, basi fanyeni hivi
|
|
|
|
"Iwapo huu ni uchaguzi wetu pekee, basi fanyeni"
|
|
|
|
# Mchukulieni
|
|
|
|
Ilikuwa kawaida kutumia neno "chini" katika kuzungumzia safari ya Kaanani kwenda Misri.
|
|
|
|
# malhamu
|
|
|
|
kitu chenye mafuta chenye harufu tamu kinachotumiwa kwa ajiliya kuponya na kulinda ngozi. "dawa"
|
|
|
|
# viungo
|
|
|
|
vikolezo
|
|
|
|
# jozi
|
|
|
|
karanga ndogo, itokayo kwenye mti wa kijani
|
|
|
|
# lozi
|
|
|
|
karanga ya mti yenye ladha tamu
|
|
|
|
# Chukueni pesa mara mbili mikononi mwenu
|
|
|
|
Hapa "mkononi" ina maana ya mtu mzima. "Chukua mara mbili ya pesa pamoja nawe"
|
|
|
|
# Pesa iliyorudishwa katika magunia yenu, muichukue tena katika mikono yenu
|
|
|
|
Hapa "mikononi" ina maana ya mtu mzima. Msemo wa "iliyorudishwa" unaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "pesa iliyowekwa kwenye magunia yenu na mtu, muirudishe Misri"
|