sw_tn/gen/42/18.md

1.0 KiB

Katika siku ya tatu

Neno "tatu" ni mpangilio wa namba."baada ya siku ya pili"

Fanyeni hivi nanyi mtaishi

Taarifa inayotambulika inaweza kuwekwa wazi. "Kama utafanya kile nilichosema, nitakuruhusu uishi"

ninamcha Mungu

Hii ina maana ya kumheshimu Mungu kwa dhati na kuonyesha heshima hiyo kwa kumtii yeye.

mmoja wenu atazuiliwa hapa gerezani

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "muache mmoja wa ndugu zako hapa gerezani"

lakini ninyi nendeni

Hapa "ninyi" ni wingi na ina maana ya ndugu wote ambao hawatakaa gerezani. "lakini ninyi mliosalia"

chukueni nafaka kwa ajili ya nyumba zenu

Hapa "nyumba" ina maana ya familia. "beba nafaka hadi nyumbani kusaidia familia zenu wakati wa njaa hii"

ili kwamba maneno yenu yathibitishwe

Hapa "maneno" yana maana ya kile kilichosemwa. Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ili niweze kujua kile mnachosema ni kweli"

nanyi hamtakufa

Hii inaashiria ya kwamba Yusufu angewafanya maaskari wake kuwaua ndugu iwapo angetambua ya kwamba walikuwa wapelelezi.