forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
1.0 KiB
Markdown
32 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# Katika siku ya tatu
|
||
|
|
||
|
Neno "tatu" ni mpangilio wa namba."baada ya siku ya pili"
|
||
|
|
||
|
# Fanyeni hivi nanyi mtaishi
|
||
|
|
||
|
Taarifa inayotambulika inaweza kuwekwa wazi. "Kama utafanya kile nilichosema, nitakuruhusu uishi"
|
||
|
|
||
|
# ninamcha Mungu
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya kumheshimu Mungu kwa dhati na kuonyesha heshima hiyo kwa kumtii yeye.
|
||
|
|
||
|
# mmoja wenu atazuiliwa hapa gerezani
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "muache mmoja wa ndugu zako hapa gerezani"
|
||
|
|
||
|
# lakini ninyi nendeni
|
||
|
|
||
|
Hapa "ninyi" ni wingi na ina maana ya ndugu wote ambao hawatakaa gerezani. "lakini ninyi mliosalia"
|
||
|
|
||
|
# chukueni nafaka kwa ajili ya nyumba zenu
|
||
|
|
||
|
Hapa "nyumba" ina maana ya familia. "beba nafaka hadi nyumbani kusaidia familia zenu wakati wa njaa hii"
|
||
|
|
||
|
# ili kwamba maneno yenu yathibitishwe
|
||
|
|
||
|
Hapa "maneno" yana maana ya kile kilichosemwa. Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ili niweze kujua kile mnachosema ni kweli"
|
||
|
|
||
|
# nanyi hamtakufa
|
||
|
|
||
|
Hii inaashiria ya kwamba Yusufu angewafanya maaskari wake kuwaua ndugu iwapo angetambua ya kwamba walikuwa wapelelezi.
|