forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
619 B
Markdown
28 lines
619 B
Markdown
# Ndivyo nilivyowambia; ninyi ni wapelelezi
|
|
|
|
"kama nilivyotangulia kusema, nyinyi ni wapelelezi"
|
|
|
|
# Mtajaribiwa kwa njia hii
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Hivi ndivyo nitakavyowajaribu"
|
|
|
|
# aishivyo Farao
|
|
|
|
Msemo huu unaashiria kiapo maalumu.
|
|
|
|
# Mtumeni mmoja wenu amlete mdogo wenu
|
|
|
|
"Chagueni mmoja wenu kumfuata mdogo wenu"
|
|
|
|
# Mtabaki gerezani
|
|
|
|
"Mliosalia mtabaki gerezani"
|
|
|
|
# hata maneno yenu yatakapothibitishwa, kama kuna ukweli ndani yenu.
|
|
|
|
Hapa "maneno" ina maana ya kile alichosema. Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ili kwamba niweze kujua kama mnaniambia ukweli"
|
|
|
|
# kifungoni
|
|
|
|
"gerezani"
|