sw_tn/gen/42/14.md

619 B

Ndivyo nilivyowambia; ninyi ni wapelelezi

"kama nilivyotangulia kusema, nyinyi ni wapelelezi"

Mtajaribiwa kwa njia hii

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Hivi ndivyo nitakavyowajaribu"

aishivyo Farao

Msemo huu unaashiria kiapo maalumu.

Mtumeni mmoja wenu amlete mdogo wenu

"Chagueni mmoja wenu kumfuata mdogo wenu"

Mtabaki gerezani

"Mliosalia mtabaki gerezani"

hata maneno yenu yatakapothibitishwa, kama kuna ukweli ndani yenu.

Hapa "maneno" ina maana ya kile alichosema. Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ili kwamba niweze kujua kama mnaniambia ukweli"

kifungoni

"gerezani"