sw_tn/gen/42/07.md

346 B

Yusufu akawaona ndugu zake na kuwatambua

"Yusufu alipowaona ndugu zake, aliwatambua"

alijibadili kwao

"alijifanya kana kwamba hakuwa kaka yao" au "hakuwafahamisha ya kwamba alikuwa kaka yao"

Mmetoka wapi?

Hili halikuwa swali la balagha ingawa Yusufu alijua jibu. Ilikuwa sehemu ya maamuzi yake kuficha utambulisho wake kwa ndugu zake.