forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
346 B
Markdown
12 lines
346 B
Markdown
|
# Yusufu akawaona ndugu zake na kuwatambua
|
||
|
|
||
|
"Yusufu alipowaona ndugu zake, aliwatambua"
|
||
|
|
||
|
# alijibadili kwao
|
||
|
|
||
|
"alijifanya kana kwamba hakuwa kaka yao" au "hakuwafahamisha ya kwamba alikuwa kaka yao"
|
||
|
|
||
|
# Mmetoka wapi?
|
||
|
|
||
|
Hili halikuwa swali la balagha ingawa Yusufu alijua jibu. Ilikuwa sehemu ya maamuzi yake kuficha utambulisho wake kwa ndugu zake.
|