sw_tn/gen/42/01.md

598 B

Basi Yakobo akafahamu

Neno "basi" inaweka alama ya sehemu mpya ya simulizi.

Kwa nini mnatazamana?

Yakobo anatumia swali kukaripia watoto wake kwa kutofanya kitu chochote kuhusu nafaka. "Msikae hapo tu!"

Shukeni huko ... chini

Ilikuwa kawaida kuzungumza kuhusu kwenda kutoka Kaanani mpaka Misri kama kwenda "chini"

kutoka Misri

Hapa "Misri" ina maana ya watu kuuza nafaka. "kutoka kwa wale wauzao nafaka ndani ya Misri"

Benjamini, ndugu wa Yusufu, Yakobo hakumtuma

Benyamini na Yusufu walikuwa na baba mmoja na mama. Yakobo hakutaka kuthubutu kumtuma mwanawe wa mwisho wa Raheli.