forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
598 B
Markdown
20 lines
598 B
Markdown
|
# Basi Yakobo akafahamu
|
||
|
|
||
|
Neno "basi" inaweka alama ya sehemu mpya ya simulizi.
|
||
|
|
||
|
# Kwa nini mnatazamana?
|
||
|
|
||
|
Yakobo anatumia swali kukaripia watoto wake kwa kutofanya kitu chochote kuhusu nafaka. "Msikae hapo tu!"
|
||
|
|
||
|
# Shukeni huko ... chini
|
||
|
|
||
|
Ilikuwa kawaida kuzungumza kuhusu kwenda kutoka Kaanani mpaka Misri kama kwenda "chini"
|
||
|
|
||
|
# kutoka Misri
|
||
|
|
||
|
Hapa "Misri" ina maana ya watu kuuza nafaka. "kutoka kwa wale wauzao nafaka ndani ya Misri"
|
||
|
|
||
|
# Benjamini, ndugu wa Yusufu, Yakobo hakumtuma
|
||
|
|
||
|
Benyamini na Yusufu walikuwa na baba mmoja na mama. Yakobo hakutaka kuthubutu kumtuma mwanawe wa mwisho wa Raheli.
|