sw_tn/gen/41/53.md

296 B

katika nchi yote

Katika mataifa yanayozunguka mbele zaidi ya Misri, kujumuisha na nchi ya Kanaani.

lakini katika nchi yote ya Misri kulikuwa na chakula

Inasemekana ya kwamba kulikuwa na chakula kwa sababu Yusufu aliwaamuru watu wake kuhifadhi chakula katika kipindi cha miaka saba mizuri.