sw_tn/gen/41/46.md

380 B

umri wa miaka thelathini

"umri wa miaka 30"

aliposimama mbele ya Farao

Hapa "aliposimama" ina maana ya Yusufu kuanza kumtumikia Farao. "alipoanza kumtumikia Farao"

kwenda katika nchi yote ya Misri

Yusufu anakagua nchi anapoandaa kutekeleza mipango yake.

Katika miaka saba ya shibe

"Katika miaka mizuri saba"

nchi ilipozaa kwa wingi

"nchi ilizaa mavuno makubwa"