forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
380 B
Markdown
20 lines
380 B
Markdown
|
# umri wa miaka thelathini
|
||
|
|
||
|
"umri wa miaka 30"
|
||
|
|
||
|
# aliposimama mbele ya Farao
|
||
|
|
||
|
Hapa "aliposimama" ina maana ya Yusufu kuanza kumtumikia Farao. "alipoanza kumtumikia Farao"
|
||
|
|
||
|
# kwenda katika nchi yote ya Misri
|
||
|
|
||
|
Yusufu anakagua nchi anapoandaa kutekeleza mipango yake.
|
||
|
|
||
|
# Katika miaka saba ya shibe
|
||
|
|
||
|
"Katika miaka mizuri saba"
|
||
|
|
||
|
# nchi ilipozaa kwa wingi
|
||
|
|
||
|
"nchi ilizaa mavuno makubwa"
|