sw_tn/gen/41/22.md

1.3 KiB

Taarifa ya Jumla:

Farao anaendelea kumwambia Yusufu ndoto zake.

Niliona katika ndoto yangu

Hii inaanza sehemu inayofuata ya ndoto ya Farao baadaya kuamka na kurudi kulala. "Kisha nikaota tena"

tazama, masuke saba

Farao anatumia neno "tazama" kumfanya Yusufu kuvuta nadhari kwa habari ya kushangaza.

masuke saba

Maneno "ya masuke" inaeleweka. "masuke saba"

yakatoka katika bua moja

"yakatoka katika bua moja". Shina ni sehemu ya mmea mnene na mrefu.

Tazama, masuke saba zaidi

Farao anatumia neno "tazama" kumfanya Yusufu kuvuta nadhari kwa habari ya kushangaza.

yaliyonyauka, membamba na yamekaushwa na upepo wa mashariki

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "yalinyauka, yamekaushwa, myembamba, na kukaushwa na jua kwa sababu ya upepo wa joto kutoka mashariki"

kunyauka

"kuoza" au "nyauka"

upepo wa mashariki

Upepo unaotoka kutoka mashariki ulivuma kutoka jangwani. Joto la upepo wa mashariki mara kwa mara ulikuwa uharibifu kwa mazao.

yakachipua

"yakaota" au "kustawi"

masuke membamba

Maneno "ya masuke" yanaeleweka. "masuke membamba"

yakayameza

"yakala". Farao anaota ya kwamba mahindi dhaifu yanaweza kumeza mahindi yenye afya kama mtu anavyokula chakula.

hakuna aliyeweza

"hapakuwa na mtu mmoja ambaye" au "hakuna kati yao ambaye"