forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
661 B
Markdown
32 lines
661 B
Markdown
# Farao alipotuma na kumwita
|
|
|
|
Inaeleweka ya kwamba Farao aliwatuma watumishi. "Farao aliwatuma watumishi wake kumfuata Yusufu"
|
|
|
|
# wakamtoa gerezani
|
|
|
|
"nje ya gereza" au "nje ya ile jela"
|
|
|
|
# Akajinyoa mwenyewe
|
|
|
|
Ilikuwa utaratibu wa kawaida kunyoa ndevu na nywele za kichwani mnapoandaa kwenda mbele ya Farao.
|
|
|
|
# akaingia kwa Farao
|
|
|
|
Hapa "akaingia" inaweza kuwekwa kama "kwenda". "alikwenda mbele ya Farao"
|
|
|
|
# hakuna wa kuitafsiri
|
|
|
|
"hakuna awezaye kueleza maana yake"
|
|
|
|
# unaweza kuitafsiri
|
|
|
|
"unaweza kuelezea maana yake"
|
|
|
|
# Siyo katika mimi
|
|
|
|
"Mimi siye ambaye naweza kueleza maana yake"
|
|
|
|
# Mungu atamjibu Farao kwa fadhila zake
|
|
|
|
"Mungu atamjibu Farao kwa fadhila"
|