sw_tn/gen/41/14.md

661 B

Farao alipotuma na kumwita

Inaeleweka ya kwamba Farao aliwatuma watumishi. "Farao aliwatuma watumishi wake kumfuata Yusufu"

wakamtoa gerezani

"nje ya gereza" au "nje ya ile jela"

Akajinyoa mwenyewe

Ilikuwa utaratibu wa kawaida kunyoa ndevu na nywele za kichwani mnapoandaa kwenda mbele ya Farao.

akaingia kwa Farao

Hapa "akaingia" inaweza kuwekwa kama "kwenda". "alikwenda mbele ya Farao"

hakuna wa kuitafsiri

"hakuna awezaye kueleza maana yake"

unaweza kuitafsiri

"unaweza kuelezea maana yake"

Siyo katika mimi

"Mimi siye ambaye naweza kueleza maana yake"

Mungu atamjibu Farao kwa fadhila zake

"Mungu atamjibu Farao kwa fadhila"