sw_tn/gen/40/06.md

725 B

Yusufu akaja kwao

"Yusufu akaja kwa mnyweshaji na mwokaji"

Tazama, walikuwa na uzuni

Neno "tazama" hapa linaonyesha ya kwamba Yusufu alishangazwa na kile alichokiona. "Alishangazwa kuona ya kuwa walikuwa na huzuni"

maafsa wa Farao waliokuwa pamoja naye

Hii ina maana ya mnyweshaji na mwokaji"

kifungoni katika nyumba ya bwana wake

"Gerezani katika nyumba ya bwana wake". "Bwana wake" ina maana ya bwana wa Yusufu, kapteni wa walinzi.

Je tafsiri haitoki kwa Mungu?

Yusufu anatumia swali kuonyesha msisitizo. Hii inaweza kuandikwa kama kauli. "tafsiri ni za Mungu!" au "Ni Mungu ambaye anaweza kusema maana ya ndoto!"

Niambieni, tafadhari

Yusufu anawaomba wamumbie ndoto zao. "Tafadhali niambieni ndoto"