forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
725 B
Markdown
24 lines
725 B
Markdown
|
# Yusufu akaja kwao
|
||
|
|
||
|
"Yusufu akaja kwa mnyweshaji na mwokaji"
|
||
|
|
||
|
# Tazama, walikuwa na uzuni
|
||
|
|
||
|
Neno "tazama" hapa linaonyesha ya kwamba Yusufu alishangazwa na kile alichokiona. "Alishangazwa kuona ya kuwa walikuwa na huzuni"
|
||
|
|
||
|
# maafsa wa Farao waliokuwa pamoja naye
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya mnyweshaji na mwokaji"
|
||
|
|
||
|
# kifungoni katika nyumba ya bwana wake
|
||
|
|
||
|
"Gerezani katika nyumba ya bwana wake". "Bwana wake" ina maana ya bwana wa Yusufu, kapteni wa walinzi.
|
||
|
|
||
|
# Je tafsiri haitoki kwa Mungu?
|
||
|
|
||
|
Yusufu anatumia swali kuonyesha msisitizo. Hii inaweza kuandikwa kama kauli. "tafsiri ni za Mungu!" au "Ni Mungu ambaye anaweza kusema maana ya ndoto!"
|
||
|
|
||
|
# Niambieni, tafadhari
|
||
|
|
||
|
Yusufu anawaomba wamumbie ndoto zao. "Tafadhali niambieni ndoto"
|