sw_tn/gen/39/16.md

598 B

bwana wake

"Bwana wa Yusufu." Hii ina maana ya Potifa.

Akamwambia maelelezo haya

"Alielezea namna hii"

uliyemleta kwetu

Neno hili "kwetu" ina maana ya Potifa, mke wake, na inamaanisha nyumba yake yote.

aliingia kunidhihaki

"alikuja ndani kunifanya mpumbavu". Hapa neno "dhihaki" ni tafisida ya "kumkamata na kulala naye". "alikuja nilipokuwepo na akajaribu kunilazimisha nilale naye"

Ikawa

"Kisha". Mke wa Potifa anatumiamsemo huu kuweka alama ya tukio linalofuata katika habari anayomwambia kuhusu Yusufu kujaribu kulala naye.

akakimbia nje

"alikimbia haraka nje ya nyumba"