forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
598 B
Markdown
24 lines
598 B
Markdown
|
# bwana wake
|
||
|
|
||
|
"Bwana wa Yusufu." Hii ina maana ya Potifa.
|
||
|
|
||
|
# Akamwambia maelelezo haya
|
||
|
|
||
|
"Alielezea namna hii"
|
||
|
|
||
|
# uliyemleta kwetu
|
||
|
|
||
|
Neno hili "kwetu" ina maana ya Potifa, mke wake, na inamaanisha nyumba yake yote.
|
||
|
|
||
|
# aliingia kunidhihaki
|
||
|
|
||
|
"alikuja ndani kunifanya mpumbavu". Hapa neno "dhihaki" ni tafisida ya "kumkamata na kulala naye". "alikuja nilipokuwepo na akajaribu kunilazimisha nilale naye"
|
||
|
|
||
|
# Ikawa
|
||
|
|
||
|
"Kisha". Mke wa Potifa anatumiamsemo huu kuweka alama ya tukio linalofuata katika habari anayomwambia kuhusu Yusufu kujaribu kulala naye.
|
||
|
|
||
|
# akakimbia nje
|
||
|
|
||
|
"alikimbia haraka nje ya nyumba"
|