sw_tn/gen/38/21.md

20 lines
417 B
Markdown

# Mwadulami
"Adulami" ni jina la kijiji ambapo Hiramu aliishi.
# watu wa sehemu
"baadhi ya wanamume ambao waliishi pale"
# kahaba wa kidini
"kahaba aliyetumika katika hekalu"
# Enaimu
Hili ni jina la mahali.
# tusije tukaaibika
Watu wangekuja kugundua kilichotokea wangemkejeli Yuda na kumcheka. Hii inaweza kuwekwa wazi na kusemwa katika hali ya kutenda. "la sivyo watu watatucheka wakigundua kilichotokea"