forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
417 B
Markdown
20 lines
417 B
Markdown
# Mwadulami
|
|
|
|
"Adulami" ni jina la kijiji ambapo Hiramu aliishi.
|
|
|
|
# watu wa sehemu
|
|
|
|
"baadhi ya wanamume ambao waliishi pale"
|
|
|
|
# kahaba wa kidini
|
|
|
|
"kahaba aliyetumika katika hekalu"
|
|
|
|
# Enaimu
|
|
|
|
Hili ni jina la mahali.
|
|
|
|
# tusije tukaaibika
|
|
|
|
Watu wangekuja kugundua kilichotokea wangemkejeli Yuda na kumcheka. Hii inaweza kuwekwa wazi na kusemwa katika hali ya kutenda. "la sivyo watu watatucheka wakigundua kilichotokea"
|