sw_tn/gen/38/21.md

417 B

Mwadulami

"Adulami" ni jina la kijiji ambapo Hiramu aliishi.

watu wa sehemu

"baadhi ya wanamume ambao waliishi pale"

kahaba wa kidini

"kahaba aliyetumika katika hekalu"

Enaimu

Hili ni jina la mahali.

tusije tukaaibika

Watu wangekuja kugundua kilichotokea wangemkejeli Yuda na kumcheka. Hii inaweza kuwekwa wazi na kusemwa katika hali ya kutenda. "la sivyo watu watatucheka wakigundua kilichotokea"