forked from WA-Catalog/sw_tn
417 B
417 B
Mwadulami
"Adulami" ni jina la kijiji ambapo Hiramu aliishi.
watu wa sehemu
"baadhi ya wanamume ambao waliishi pale"
kahaba wa kidini
"kahaba aliyetumika katika hekalu"
Enaimu
Hili ni jina la mahali.
tusije tukaaibika
Watu wangekuja kugundua kilichotokea wangemkejeli Yuda na kumcheka. Hii inaweza kuwekwa wazi na kusemwa katika hali ya kutenda. "la sivyo watu watatucheka wakigundua kilichotokea"