sw_tn/gen/38/06.md

283 B

Eri

Hili ni jina la mmoja wa watoto wa Yuda.

alikuwa mwovu machoni pa Yahwe

Msemo "machoni pa" una maana ya yahwe kuona uovu wa Eri.. "alikuwa muovu na Yahwe akauona"

Yahwe akamwua

Yahwe akamuua kwa sababu alikuwa muovu. Hii inaweza kuwekwa wazi. "Kwa hiyo Yahwe akamuua"