Eri
Hili ni jina la mmoja wa watoto wa Yuda.
alikuwa mwovu machoni pa Yahwe
Msemo "machoni pa" una maana ya yahwe kuona uovu wa Eri.. "alikuwa muovu na Yahwe akauona"
Yahwe akamwua
Yahwe akamuua kwa sababu alikuwa muovu. Hii inaweza kuwekwa wazi. "Kwa hiyo Yahwe akamuua"