forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
283 B
Markdown
12 lines
283 B
Markdown
|
# Eri
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mmoja wa watoto wa Yuda.
|
||
|
|
||
|
# alikuwa mwovu machoni pa Yahwe
|
||
|
|
||
|
Msemo "machoni pa" una maana ya yahwe kuona uovu wa Eri.. "alikuwa muovu na Yahwe akauona"
|
||
|
|
||
|
# Yahwe akamwua
|
||
|
|
||
|
Yahwe akamuua kwa sababu alikuwa muovu. Hii inaweza kuwekwa wazi. "Kwa hiyo Yahwe akamuua"
|