forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
787 B
Markdown
28 lines
787 B
Markdown
# Yakobo akararua mavazi yake
|
|
|
|
Hili ni tendo la mawazo na uchungu mkubwa. Hii inaweza kuandikwa kwa uwazi zaidi. "Yakobo alikuwa na majonzi mpaka akararua nguo zake"
|
|
|
|
# kuvaa mavazi ya magunia katika viuno vyake
|
|
|
|
Hapa "viuno" ina maana ya sehemu ya katikati ya mwili au kiuno. "akavaa magunia"
|
|
|
|
# wakainuka
|
|
|
|
Hapa ujio wa watoto kwa baba yao inazungumziwa kama "kuinuka juu". "wakaja kwake"
|
|
|
|
# lakini alikataa kufarijiwa
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "lakini hakutaka wamfariji"
|
|
|
|
# Hakika nitashuka kuzimu nikimwombolezea
|
|
|
|
Hii ina maana ataomboleza kutoka sasa hadi pale atakapokufa. "Kweli nitakapokufa na kwenda kuzimu bado nitakuwa naomboleza"
|
|
|
|
# Wamidiani wakamwuza
|
|
|
|
"Wamidiani walimuuza Yusufu"
|
|
|
|
# kepteni wa walinzi
|
|
|
|
"kiongozi wa wanajeshi waliokuwa wakimlinda mfalme"
|