sw_tn/gen/37/34.md

787 B

Yakobo akararua mavazi yake

Hili ni tendo la mawazo na uchungu mkubwa. Hii inaweza kuandikwa kwa uwazi zaidi. "Yakobo alikuwa na majonzi mpaka akararua nguo zake"

kuvaa mavazi ya magunia katika viuno vyake

Hapa "viuno" ina maana ya sehemu ya katikati ya mwili au kiuno. "akavaa magunia"

wakainuka

Hapa ujio wa watoto kwa baba yao inazungumziwa kama "kuinuka juu". "wakaja kwake"

lakini alikataa kufarijiwa

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "lakini hakutaka wamfariji"

Hakika nitashuka kuzimu nikimwombolezea

Hii ina maana ataomboleza kutoka sasa hadi pale atakapokufa. "Kweli nitakapokufa na kwenda kuzimu bado nitakuwa naomboleza"

Wamidiani wakamwuza

"Wamidiani walimuuza Yusufu"

kepteni wa walinzi

"kiongozi wa wanajeshi waliokuwa wakimlinda mfalme"